K.O.K.W.A Ep. 01-06

By: Richard Mwambe

0
Available Stock:

Tanzania kwa kushirikiana na wataalam wa nyuklia kutoka Urusi inaanza kurutubisha urani kwa matumizi ya binadamu na silaha za kujilinda. Lakini ujasusi mkubwa unafanyika katika mradi huo na mara baada ya mifumo hiyo ya Kinyuklia kukaa sawa kwa awamu ya kwanza, KOKWA inapotea katika mazingira tatanishi ndani ya jumba la Makumbusho ya Taifa.

KOKWA ni nini?

Nini kilitokea?

Ni wakati mwingine TSA wanaingia kazini kutatua kitendawili hicho. 

jipakulie PDF yako uburudike na kipande hiki.

Related Products

Product Image
KITANZI CHA MWISHO

By: Richard Mwambe

Product Image
MKATABA WA KIFO (Jiue Mwenyewe)

By: richard MWAMBE

Product Image
Dira Ya Maendeleo 2050

By: Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania

Product Image
PASIPOTI YA GAIDI - Kitabu Cha 1

By: Richard Mwambe